Ungana nasi kwa kuandika email yako hapa ili upate habari mpya kupitia email yako bila usumbufu:


Home » » MCHINA ATWAA TAJI LA MISS WORLD 2012

MCHINA ATWAA TAJI LA MISS WORLD 2012


Mshindi wa shindano la urembo la Miss World ni Yu Wenxia kutoka nchini China. Ushindi huo umetangazwa muda sio mrefu jijini Ordos nchini Mongolia ambapo mshindi wa pili ametokea Sophie Elizabeth Moulds wa kutokea Wales na mshindi wa tatu akiwa Jessica Michelle Kahawaty wa Australia.

Yu Wenxia mwenye miaka 23,ni mwanafunzi wa muziki ambaye anadhamiria kufundisha muziki pia.

Washindi kutoka Africa waliopeta katika mashindao hayo ni warembo kutoka Kenya na South Sudan, ambapo Kenya alifanikiwa kutinga mpaka Nusu fainali za shindano huko mrembo kutoka South Sudan akifanikiwa kufikia hatua ya finali.

Tangu hatua za awali, mrembo wa South Sudan alionekana kushiriki na kufanikiwa katika michuano ya Beach Beauty, pamoja na shindano la Top Model.
TUPE MAONI YAKO
KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK

Translate

 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. MPEKUZI - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger